Na. Maelezo ya Ada Kiwango cha Ada
1 Usajili wa Kampuni kwa Mtaji wa Hisa (Share Capital)
1.1 Zaidi ya Tsh 20,000/= lakini si zaidi ya Tsh 1,000,000/= Tsh 95,000/=
1.2 Zaidi ya Tsh 1,000,000/= lakini si zaidi ya Tsh 5,000,000/= Tsh 175,000/=
1.3 Zaidi ya Tsh 5,000,000/= lakini si zaidi ya Tsh 20,000,000/= Tsh 260,000/=
1.4 Zaidi ya Tsh 20,000,000/= lakini si zaidi ya Tsh 50,000,000/= Tsh 290,000/=
1.5 Zaidi ya Tsh 50,000,000/= Tsh 440,000/=
2 Usajili wa kampuni isiyo na mtaji wa hisa (idadi ya washirika kama ilivyoainishwa kwenye Malengo na Katiba) Tsh 300,000/=
3 Ada ya kufungua jalada la maombi (Tsh 22,000/= kwa kila waraka – Malengo na Katiba) Tsh 66,000/=
4 Ushuru wa stempu kwa kila nakala ya Malengo na Katiba ya Kampuni Tsh 10,000/=
5 Ushuru wa stempu kwa Fomu Na. 14B Tsh 1,200/=
6 Kulinda jina la kampuni Tsh 50,000/=
7 Kubadilisha jina la kampuni Tsh 22,000/=
8 Upokeaji na/au usajili wa waraka wowote kwa Msajili chini ya Sheria Tsh 22,000/=
9 Ada ya kuchelewa kufungua jalada/usajili wa waraka (kwa mwezi au sehemu ya mwezi) Tsh 2,500/=
10 Kujaza na kuwasilisha taarifa ya mwaka (Annual Returns) Tsh 22,000/=
11 Ithibati ya waraka (kwa kila ukurasa) Tsh 3,000/=
12 Kutafuta jalada au kupekua taarifa yoyote Tsh 3,000/=
13 Ripoti ya utafutaji wa faili Tsh 22,000/=
14 Ada chini ya Kifungu XII cha Sheria
14.1 Usajili wa nakala yenye ithibati ya mkataba, sheria au katiba ya kampuni USD 750
14.2 Ujazaji wa waraka wowote unaohitajika kuwasilishwa (isipokuwa mizania) USD 220
14.3 Kufungua jalada la mizania USD 220
14.4 Ada ya kuchelewa kufungua jalada/usajili wa waraka (kwa mwezi au sehemu ya mwezi) USD 25
15 Nakala ya Cheti cha Usajili wa Kampuni Tsh 4,000/=
ANGALIZO: Ada hizi zinaweza kubadilika kulingana na marekebisho ya kisheria.